Nilivyosafiri na jini ndani ya Bus
View Demo
Unfavorite
Description
Jina langu naitwa Halima Mohamed Mgaza, nilizaliwa mwaka 1995 katika mkoa wa Kilimanjaro wilayani Moshi mjini. Wakati nikiwa natafakari hayo mabadiliko ya ulimwengu juu yangu nikajikuta naangukia katika jaribu la
kipekee, jaribu ambalo hata familia yangu ililazimika kusimama mbali nami na kufanya subra kimaamuzi iwapo wasogee ama wakimbie moja kwa moja.
Narejea kulitambulisha jina langu mpenzi msomaji wa mkasa huu.
Naitwa Halima Mohamed Mgaza. Tafadhali nakusihi sana ujifunze na kuchukua tahadhari kwa yale yaliyonitokea.
Author Details
0 stars based on 0 reviews.
...
driquizrex@gmail.com • Afghanistan • last online 8 days ago.
User Reviews
Be the first to write a review
- Price 0.00 Download
- Version 1.0
- Operating System Audio
Recommended For You