Hakuna chama chochote chenye mamlaka ya kuahirisha Uchaguzi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema kuwa hakuna mtu, chombo cha serikali wala chama chochote kinachoruhusiwa wala kuwa na mamlaka ya kuahirisha uchaguzi.
Wasira amesema hayo leo Februari 11, 2025 wakati akizungumza katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.
“Ibara ya 41 sehemu ya nne ya katiba inaipa Tume mamlaka ya kutangaza tarehe ya uchaguzi, hakuna chama wala chombo chochote chenye mamlaka ya kuahirisha uchaguzi, ibara ya 42 sehemu ya nne inahusu kama inabidi kusogeza mbele sababu yake lazima iwe vita kwamba Tanzania ipo vitani kwahiyo tunasogeza tarehe mbele ili kumaliza vita,” amesema Wasira.
3 Comments
New Guest
GA6789Bet, you're a bit of a hidden gem! Found you through a friend. The sports betting section is surprisingly comprehensive. Customer service is responsive. If you’re looking for variety in betting platforms, check them out: ga6789bet
December 21, 2025king21
365betlogin makes it easy to get straight into the action. Login is quick and painless. Definitely a plus in my book! Visit here: 365betlogin
January 5, 2026
New Guest
Alright folks, I'm giving bk8bet89 a try. Heard some good things about their customer support, so I'm hoping that's true! The promos look decent too. Worth checking out: bk8bet89